CHADEMA yatoa kauli kutoweka kwa Ben Sanane

Ben Sanane - Kada wa CHADEMA anayedaiwa kutoweka

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeiomba serikali kuwasaidia kupata ufumbuzi kuhusiana na kupotea kwa kada wa chama hicho Bwana Ben Sanane ambaye pia ni Msaidizi wa Mwenyekiti Taifa wa Chama hicho Mhe. Freeman Mbowe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS