Magufuli achambua urafiki wa Castrol na Tanzania

Rais wa Kwanza wa Tanzania Mwl. Julius Nyerere (kulia) akiwa na Rais wa zamani wa Cuba, Fidel Castrol (kushoto) mwaka 1976 alipotembelea nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, John Pombe Magufuli, amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Raul Castro kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Cuba Mhe. Fidel Castro kilichotokea tarehe 25 Novemba, 2016

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS