Rais wa nchi akiri kuua mtuhumiwa wa uhalifu Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte amekiri hadharani kwamba yeye mwenyewe alimuua mtuhumiwa wa uhalifu alipokuwa Meya wa Mji wa Davao. Read more about Rais wa nchi akiri kuua mtuhumiwa wa uhalifu