Azam yasajili wengine wa kimataifa, yamtema Migi Kocha wa Azam FC Zeben Hernandez akimkabidhi Jezi Beki wa kati wa Klabu hiyo Yakubu Mohammed aliyetokea nchini Ghana. Uongozi wa klabu ya Azam FC leo umeingia mkataba na wachezaji wengine watatu: wawili wakimataifa na mmoja kutoka klabu ya Mbeya City. Read more about Azam yasajili wengine wa kimataifa, yamtema Migi