Mwenyekiti UVCCM aachiwa huru, akamatwa tena

Lengai ole Sabaya

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo imemwachia huru  aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Arusha (UVCCM), Lengai ole Sabaya katika kesi ya  kujifanya mtumishi wa umma idara ya usalama wa Taifa (TISS).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS