Wafanya kazi miezi 11 bila kulipwa mishahara

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akiongea na wananchi jijini katika ziara yake Mwanza

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Makame Mbarawa ameahidi kutoa shilingi milioni 100 kuwalipa mishahara wafanyakazi wa kampuni ya huduma za meli nchini Marine Mkoani mwanza kwa mwezi Desemba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS