Mikoa ya Kanda ya Ziwa hoi kwa huduma za uzazi

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akikabidhi gari la wagonjwa kwa wabunge a mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Tathmini ya afya iliyofanyika mwaka 2015 ya mpango wa matokeo makubwa sasa inaonesha mikoa ya kanda ya ziwa inaongoza kuwa na viashiria hafifu vya afya ya mama na mtoto sambamba na ukosefu wa damu salama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS