Ngassa yupo fiti kuitumikia Mbeya City - Uongozi
Kiungo mshambuliaji wa Kimataiafa wa Tanzania Mrisho Khalfan Ngassa amejiunga rasmi na klabu ya Mbeya City inayoshiriki ligi kuu ya soka Tanzania Bara, ambapo uongozi wa timu hiyo umesema kuwa yuko imara kiafya.
