Ngassa yupo fiti kuitumikia Mbeya City - Uongozi

Mrisho Ngassa akisaini Mkataba wa mwaka mmoja kujiunga na Mbeya City

Kiungo mshambuliaji wa Kimataiafa wa Tanzania Mrisho Khalfan Ngassa amejiunga rasmi na klabu ya Mbeya City inayoshiriki ligi kuu ya soka Tanzania Bara, ambapo uongozi wa timu hiyo umesema kuwa yuko imara kiafya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS