Awadhi Juma atoroka Msimbazi, aibukia Mwadui Awadhi Juma akiwa Simba msimu uliopita Kiungo machachari wa Simba Awadhi Juma ameachana rasmi na klabu hiyo na kujiunga rasmi na wachimba madini wa Mwadui, Mwadui FC ya Shinyanga baada ya kukosa namba kunako klabu hiyo ya wekundu wa msimbazi. Read more about Awadhi Juma atoroka Msimbazi, aibukia Mwadui