Tafuteni njia mbadala kukomesha ukatili: RC Njombe

Mkuu Mkoa wa Njombe, Dkt. Rehema Nchimbi.

Mahakama na polisi nchini zimetakiwa kutafuta njia mbadala ya kukomesha vitendo vya ubakaji na ulawiti kwa kuwashughulikia watuhumiwa, kwakuwa vimedaiwa kuchangia kasi ya ongezeko la maambukizi ya VVU.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS