Awadhi Juma atoroka Msimbazi, aibukia Mwadui

Awadhi Juma akiwa Simba msimu uliopita

Kiungo machachari wa Simba Awadhi Juma ameachana rasmi na klabu hiyo na kujiunga rasmi na wachimba madini wa Mwadui, Mwadui FC ya Shinyanga baada ya kukosa namba kunako klabu hiyo ya wekundu wa msimbazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS