Bulaya ataka JPM apewe ukweli kuhusu 'unga'

Ester Bulaya

Mbunge wa Bunda Mjini Mh. Ester Bulaya amefunguka na kutaka siasa isiingizwe kwenye vita ya madawa ya kulevya na kusema viongozi wasimdanganye Rais Magufuli ili kujihakikishia vyeo vyao au nafasi zao katika uongozi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS