Rama Dee amkosoa Makonda
Msanii wa muziki wa bongo fleva Rama Dee amefunguka na kusema kuwa yeye hamuungi mkono Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwa namna anavyoshugulika na kuwafikisha polisi baadhi ya wasanii wanaotuhumiwa kuhusika na dawa za kulevya.