Azam yalipa kisasi kwa Ndanda FC, Chamazi
Bao la Yahya Mohamed raia wa Ghana dakika ya 86 limetosha kuipa Azam Fc ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ndanda FC katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliopigwa usiku huu katika dimba la Azam Complex Chamazi.