Magufuli aagiza majeshi kujenga viwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameyataka majeshi yote hapa nchini yajipange kuendana na sera ya ujenzi wa viwanda kwa kuhakikisha viwanda vya kutengeneza mahitaji yanayoweza kupatikana hapa nchini