Kifimbo cha Malkia kutua nchini mwezi ujao

Wanamichezo Filbert Bayi (kushoto) wa Tanzania, Kipchoge Keino wa Kenya, wakiwa wameshikilia kifimbo cha Malkia.

Kamati ya Olimpiki Tanzania TOC iko katika hatua za mwisho za maandalizi ya mapokezi makubwa ya kifimbo cha malkia ambacho kinatarajiwa kutua nchini mwanzoni mwa mwezi ujao na kutembezwa katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam na Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS