Mshiriki Miss Tanzania akiri kudanganya umri

Nelly Kamwelu

Aliyekuwa mshiriki wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania mwaka 2008, Nelly Kamwelu, amekiri kudanganya umri katika mashindano hayo wakati huo ili apate fursa ya kushiriki mashindano hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS