Samia aenda Dubai kuwapigania wanawake

Makamu wa Rais akiagana na baadhi ya viongozi waliomsindikiza katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini kuelekea Dubai ambako atahudhuria mkutano wa Jopo kuu la Katibu Mkuu la Umoja wa Mataifa la Kuwawezesha Wanawake Kiuchumi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS