Samia aenda Dubai kuwapigania wanawake
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini kuelekea Dubai ambako atahudhuria mkutano wa Jopo kuu la Katibu Mkuu la Umoja wa Mataifa la Kuwawezesha Wanawake Kiuchumi.