Yanga yafanya mauaji Comoro

Mechi ya Ngaya na Yanga nchini Comoro

Mabingwa wa Tanzania, Yanga SC imefanya mauaji nchini Comoro kwa kuiporomoshea kipigo kitakatifu Ngaya Club ambao ndiyo mabingwa wa nchi hiyo katika mchezo wa awali wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS