Banda aomba radhi kwa kumtwanga mchezaji Kagera

Abdi Banda akiwa nyuma ya Kavilla wakati wakiingia uwanjani kwenye mchezo huo Jumapili

Mlinzi wa kati wa Simba, Abdi Banda ameomba radhi kwa mashabiki wa soka nchini kwa kitendo chake cha kumpiga ngumi, kiungo wa Kagera Sugar, George Kavilla Jumapili katika mchezo wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara Uwanja wa Kaitaba, Bukoba.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS