Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bw.Rogers William Sianga kuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Serikali imesema kamwe haitawatetea Watanzania wanaotumikia vifungo katika magereza mbalimbali nje ya nchi kutokana na kujihusisha na dawa za kulevya.