Magufuli atema cheche

Rais Magufuli amemuagiza Waziri wa Mambo ya Nje na Mabalozi wote wanaoiwakilisha Tanzania kutojihusisha kuwatetea watanzania waliofungwa kwa makosa ya dawa za kulevya katika nchi mbalimbali na badala yake waache sheria zichukue mkondo wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS