Polisi yajibu kuhusu Muuguzi kuuliwa na Askari

Yakiwa yamepita masaa machache tokea zilipovuma tetesi za mauji ya muuguzi mmoja mkoani Mwanza dhidi ya askari Polisi mkoani humo, Jeshi la Polisi limefunguka na kukanusha taarifa hizo huku wakiwataka waandishi wa habari kuacha kuandika vitu kwa mihemuko bila ya kufuata utaratibu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS