Volodymyr Zelensky akiri hali ni mbaya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema baada ya karibu miaka minne ya vita, hali nchini mwake inaendelea kuwa mbaya zaidi katika eneo la vita. Amesema miundombinu inaharibiwa na mashambulizi ya Urusi. Read more about Volodymyr Zelensky akiri hali ni mbaya