Umri ni namba tu kwa mastaa hawa wa kike duniani
Wazungu wanasema "Age is just a number" wakimaanisha Umri ni namba tu! ni msemo unaosisitiza miaka sio kigezo pekee cha uhai wa mtu,kumjaji,uwezo wake, akili,muonekano,mapenzi au kumtilia shaka sababu ya umri.