Sijahusika na mauaji Bangladesh - Sheikh Hasina

Waziri mkuu wa zamani wa Bangladesh Sheikh Hasina amekanusha kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa msako mkali dhidi ya maasi ya mwaka jana yaliyomuondoa madarakani, siku chache kabla ya mahakama maalum inayomkabili kutoa uamuzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS