Nyota wa Yanga ambaye hajalipwa mshahara msimu huu
Baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi hapo jana katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Ruvu Shooting, kocha mkuu wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amefichua siri nyingine juu ya nyota wake klabuni hapo.