Mbunge alalamikia malipo kidogo ya korosho
Mbunge Jimbo la Tandahimba kupitia tiketi ya CUF, Katani S Katani amelalamikia hatua ya serikali kulipa kiasi kidogo cha fedha kwenye vyama ushirika ambavyo viko kwenye jimbo lake linalokadiriwa kuwa zaidi ya vyama 128.