Mbunge alalamikia malipo kidogo ya korosho

Mbunge Jimbo la Tandahimba kupitia tiketi ya CUF, Katani S Katani.

Mbunge Jimbo la Tandahimba kupitia tiketi ya CUF, Katani S Katani amelalamikia hatua ya serikali kulipa kiasi kidogo cha fedha kwenye vyama ushirika ambavyo viko kwenye jimbo lake linalokadiriwa kuwa zaidi ya vyama 128.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS