Azam FC yaziburuza Simba na Yanga kimataifa
Farid Mussa, Shaaban Idd, Himid Mao ‘Ninja’ na Yahya Zayd ni wachezaji wanaoipa jeuri Azam FC kuwa miongoni mwa klabu iliyofanya vizuri kwenye kutoa vipaji na kuvipeka kimataifa katika miaka ya hivi karibuni tofauti klabu kongwe Simba na Yanga.

