Baada ya rungu kwa Wambura, TFF yatoa onyo kali
Baada ya Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Duniani FIFA kumfungia maisha aliyekuwa Makamu wa Rais, Michael Richard Wambura kujihusisha na masuala yoyote ya mpira wa miguu, Shirikisho la Soka nchini TFF limetoa onyo zito.

