Ado atoa siri kuhusu Nape, Bashe

Katibu wa Itikadi na Uenezi kushoto, Ado Shaibu Mbunge Nzega Mjini ,Hussein Bashe Katikati na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye.

Katibu wa Itikadi na Uenezi Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema kwamba muswada wa sheria wa Vyama vya Siasa vipo vifungu vimetengenezwa maalumu kwa viongozi kama kina Nape Nnauye na Hussein Bashe ili kuwawekea mazingira magumu kutokana na yanayoendelea ndani ya chama chao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS