Matokeo ya kidato cha nne, zero 'yamgusa' Jokate
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo amebainisha kuwa mpaka kufikia mwaka 2020 atahakikisha kuwa katika wilaya yake ya wamepania mpaka kufikia mwaka 2020, wanafunzi waliopata sifuri watakuwa wamepungua kutoka kwenye matokeo ya sasa.

