Matokeo ya kidato cha nne, zero 'yamgusa' Jokate

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo amebainisha kuwa mpaka kufikia mwaka 2020 atahakikisha kuwa katika wilaya yake ya wamepania mpaka kufikia mwaka 2020, wanafunzi waliopata sifuri watakuwa wamepungua kutoka kwenye matokeo ya sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS