Ataka wananchi warudi kwenye nyumba zilizobomoka
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amezitahadharisha kaya ambazo bado hazijarudi katika makazi yao ya awali kutokana na nyumba zao kuezuliwa na upepo na mvua kali kurejea mara moja kwenye makazi yao badala ya kuishi kwenye mikusanyiko katika majengo ya serikali.