Simba wamkabidhi kazi Dkt. Tulia Ackson

Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson.

Kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya makundi kati ya Simba SC dhidi ya JS Sauora ya Algeria, Simba wememtangza Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kuwa mgeni rasmi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS