CCM, Magufuli, kujifungia leo Dar

Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kikiongozwa na Mwenyekiti wake Rais John Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo anatarajiwa kuongoza kikao cha halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi kitakachofanyika Jijini Dar es salaam ambacho kitalenga kujadili masuala mbalimbali ikiwemo hali ya kisiasa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS