Makambo na Yanga kwa pamoja wagoma kukamatika Kikosi cha Yanga kilichocheza dhidi ya Mbeya City. Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania klabu ya Yanga leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliomalizika jioni hii kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Read more about Makambo na Yanga kwa pamoja wagoma kukamatika