Kocha wa klabu Ligi Kuu amkataa msaidizi wake
Baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi katika mchezo wake wa jana Jijini Mwanza, kocha mkuu wa klabu ya Mbao FC, Amri Said ameibuka hadharani na kumkataa kocha wake msaidizi, Ally Bushiri kwa madai ya kutokuwa na maelewano mazuri.