Zitto afika kimataifa Sakata la CAG na Spika

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali, Prof. Mussa Assad (kushoto), Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe.

Baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kumtaka Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali kwenda kuhojiwa kwenye Kamati Maadili, Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT, Zitto Kabwe ameamua kumuandikia barua Katibu Mkuu wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA), Akbar Khan akimtaka kuingilia kati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS