Kocha wa klabu Ligi Kuu amkataa msaidizi wake

Kocha Amri Said

Baada ya kufanikiwa kuibuka na ushindi katika mchezo wake wa jana Jijini Mwanza, kocha mkuu wa klabu ya Mbao FC, Amri Said ameibuka hadharani na kumkataa kocha wake msaidizi, Ally Bushiri kwa madai ya kutokuwa na maelewano mazuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS