Muafaka wa tambo za Kigwangalla na Fatma Karume

Fatma Karume na Waziri Kigwangalla

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Fatma Karume wamekutana leo kwenye 'Brunch date' na kujadili jinsi ya kuboresha uhusiano baina ya viongozi wanaowasiliana kwa kutumia mitandao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS