Mo Salah amualika shabiki kipofu mazoezini

Mohamed Salah akiwa na shabiki kipofu, Mike Kearney (kulia) pamoja na ndugu yake (kushoto)

Mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah amemwalika rasmi shabiki kipofu wa klabu hiyo, Mike Kearney katika mazoezi baada ya kuzua gumzo mitandaoni kufuatia mchezo wa Klabu Bingwa Ulaya kati ya Liverpool na Napoli wiki mbili zilizopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS