Mbowe anyang'anywa ofisi

Mwenyekiti wa (CHADEMA) taifa, Freeman Mbowe.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai, amenyang'anywa Ofisi yake ya Ubunge na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na kuagiza itumiwe na Idara ya Uhamiaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS