Mbowe anyang'anywa ofisi
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa, Freeman Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Hai, amenyang'anywa Ofisi yake ya Ubunge na Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na kuagiza itumiwe na Idara ya Uhamiaji.

.jpg?itok=Ih3gYdmL)