Mapya yaibuka, mtoto aliyefungiwa Kabatini miezi 5
Uongozi wa hospitali ya Mkoa wa Dodoma umesema kuwa tayari wamemruhusu, Neema Matimbe (15) ambaye inadaiwa mwanaye wa miezi mitano alifungiwa kabatini na mwajiri wake tangu alipozaliwa, lakini hajapata mtu wa kumchukua hivyo atakaa hospitali wakati uongozi ukiwasiliana na

