Magufuli amtaka Waziri ajiandae kuachia ofisi

Rais John Pombe Magufuli

Rais John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Madini, Dotto Biteko ajiandae kuachia ofisi yeye pamoja na Naibu Waziri wake endapo atashindwa kufunga kamera katika ukuta wa madini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS