Magufuli amtaka Waziri ajiandae kuachia ofisi Rais John Pombe Magufuli Rais John Pombe Magufuli amemtaka Waziri wa Madini, Dotto Biteko ajiandae kuachia ofisi yeye pamoja na Naibu Waziri wake endapo atashindwa kufunga kamera katika ukuta wa madini. Read more about Magufuli amtaka Waziri ajiandae kuachia ofisi