Bunge kutojadili taarifa za CAG?

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad.

Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima Mdee amedai kwamba ana wasiwasi kuwa bunge hili linalotarajiwa kuanza mapema mwezi huu halitaweza kujadili trilion 1.5 zilizoripotiwa na CAG kwamba hazionekani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS