Makocha wapya wa Singida United waanza kazi Kikosi cha Singida United Klabu ya soka ya Singida United imethibitisha kuwa makocha wao wapya wamewasili jijini Mwanza na kuungana na timu tayari kuanza kazi ya kusaka alama tatu dhidi ya Mbao FC. Read more about Makocha wapya wa Singida United waanza kazi