Kindoki amchomoa Kabwili golini, Yanga yatakata

Klaus Kindoki (wa pili kulia) akiwa benchi na wachezaji wengine wa Yanga

Mlinda mlango namba mbili wa Yanga kwa sasa, Klaus Kindoki hatimaye ameondoa mkosi kwa kusimama golini hadi mpira unamalizika na kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi dhidi ya African Lyon.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS