Simba waibuka wababe SportPesa Cup Wachezaji wa Simba na Gor Mahia Kamati ya Kimataifa ya mashindano ya SportPesa yanayoendelea nchini, imethibitisha kuwa mchezaji wa Simba Lamine Moro aliyekatiwa rufaa na AFC Leopards ana kibali cha kucheza michuano hiyo. Read more about Simba waibuka wababe SportPesa Cup