CCM yanyoosha mikono kwa Jenista Mhagama

Kushoto ni Rais Magufuli akimkabidhi Jenista Mhagama Ilani ya CCM wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu 2015.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Ndg. Humphrey Polepole kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi amempongeza Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Wilaya ya Songea Vijijini Mkoani wa Ruvuma, Jenista Mhagama kwa kuekeleza kwa asilimia kubwa Ilani ya chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS