Mtibwa yashindwa rasmi safari, yawaachia Simba Mchezo wa Mtibwa Sugar dhidi ya KCCA Klabu ya soka ya Mtibwa Sugar imeshindwa kusonga mbele katika michuano ya shirikisho barani Afrika baada ya kukubali kichapo kutoka kwa KCCA ya Uganda kwenye ardhi ya nyumbani hii leo. Read more about Mtibwa yashindwa rasmi safari, yawaachia Simba