Ndugai ashangazwa na ukubwa wa CAG

Kushoto ni Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali, Prof. Mussa Assad, Spika Job Ndugai kulia.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ameeleza kwamba ni lazima Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Serikali, Prof. Mussa Assad  aweze kwenda kuhojiwa kwenye Kamati ya Maadili  na asipokwenda atamuonyesha yupi ni bosi wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS