Posh afunguka alikoipata shepu yake Mlimbwende maarufu kwenye mitandao ya kijamii nchini, Posh Queen, ameweka wazi chanzo cha kuwa na shepu ya kuvutia, baada ya tuhuma nyingi kuibuka kuwa ametumia dawa za kichina kuipata. Read more about Posh afunguka alikoipata shepu yake