Arsenal ya Monaco na Arsenal ya Nice, uwanjani leo

Thiery Henry na Patrick Vieira

Leo inaweza ikawa ni kumbukumbu nzuri lakini isiyokuwa na masihara ndani yake, pale ambapo watoto wa profesa wa soka aliyetamba katika klabu ya Arsenal kwa miaka 22, Arsene Wenger watakapokutana katika Ligi Kuu ya Ufaransa, Ligue 1.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS