Baba awabaka watoto wake wawili Morogoro

Ubakaji

Watoto wawili katika kijiji cha Mangaye mkoani Morogoro, mmoja mwenye miaka nane na mwingine mwenye miaka tisa wamebakwa na mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Paulo Ilonga mwenye umri wa miaka 68 ambaye ni baba yao wa kambo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS