Zitto azungumzia kuondolewa Bungeni

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe.

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo) Zitto Kabwe amesema kuwa si kweli kwamba yeye ndiye Mbunge anayemsumbua zaidi Spika Job Ndugai kama alivyodai kwani amekuwa akifuata taratibu na kanuni bila kuvunja sheria.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS