Makonda amtaka Tundu Lissu kurudi Tanzania
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amemtaka Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Tundu Lissu kutangaza baadhi ya mambo ambayo yamefanywa na Rais Magufuli kufuatia Tundu lissu kufanya ziara katika baadhi ya nchi barani Ulaya.

