Kilichojiri kwa CAG Assad baada ya kuhojiwa
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG Prof. Musa Assad leo amehojiwa kwa zaidi ya saa tatu naKamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka, kutokana na kauli yake ya kuliambia bunge ni dhaifu wakati akihojiwa na redio moja nchini Marekani hivi karibuni.
