Wasiokula mbogamboga hatarini kuugua magonjwa haya
Ni kawaida sana kusikia mtu akiagiza chakula hotelini au mgahawani, akisema kuwa asiwekewe mbogamboga kwasababu tuu hakuzoea kula, wengine wakidai kuwa hawaoni ladha na wengine wakidai kuwa hawajakua katika maisha ya kula mbogamboga.

